Hawa Hapa Wababe Waliotinga Nusu Fainali CAF 2024/25
Al Ahly, ambao wameweka rekodi ya kutinga Nusu Fainali mara sita mfululizo, wameendelea kuimarisha ubabe wao katika soka la Afrika kwani wamejipatika Clean Sheets 12 katika michezo 14
HABARI ZA MICHEZO
4/9/2025


Michuano ya Ligi ya Mabingwa Africa ‘CAF’ imeingia katika hatua za msisimko zaidi, na wababe wanne wa Afrika wameingia hatua ya nusu fainali.
Mamelodi Sundowns wamefanikiwa kutinga hatua hiyo kwa kuwaondoa Esperance Sportive de Tunis kwa ushindi wa jumla wa 1-0 katika hatua ya robo fainali, wakipata nafasi ya kukutana na Al Ahly kwenye mechi ya kwanza ya Nusu Fainali itakayochezwa Jumatatu, Aprili 19, huko Pretoria.
Al Ahly, ambao wameweka rekodi ya kutinga Nusu Fainali mara sita mfululizo, wameendelea kuimarisha ubabe wao katika soka la Afrika kwani katika changamoto ya CAF msimu huu wamejipatika Clean Sheets 12 katika michezo 14 chini ya uongozi wa kocha Marcel Koller ambaye hajawahi kupoteza mchezo katika hatua za mtoano.
Katika upande mwingine, AS FAR Rabat wametolewa nje ya mashindano na Pyramids FC kwa jumla ya magoli 4-3 katika michezo yote miwili.
Katika hatua ya Nusu Fainali, Pyramids wao wamepangwa kukutana na Orlando Pirates au MC Alger.
© 2024. All rights reserved.
Wasiliana Nasi
Tafadhali tujulishe kuhusu maswali au maoni yako
Vigezo na Masharti vitazingatiwa kwa ofa zote na bonasi zitakazotangazwa kwenye tovuti hii. Tembelea kampuni ya betting husika kwa maelezo zaidi. Sisi sio kampuni ya betting/mikeka na hatuchukui dau zozote. Odds za kipekee tunazotoa katika makala mahususi za habari ni za burudani na hazipatikani kwa kuwekewa dau. Kutumia taarifa yoyote inayopatikana katika www.mkekabetting.com kukiuka sheria yoyote ni marufuku. Angalia kanuni za bahati nasibu mtandaoni katika eneo lako la mamlaka kabla ya kuweka dau zozote na viungo vyovyote vya kutangaza mikeka.
Beti Kistaarabu
Hairuhusiwi chini ya miaka 18

